Friday, October 30, 2009

Kufuatia mauwaji ya alubino mbunge ajitolea kuwajengea nyumba bora na imara.

Florence F. Mrosso


MAUWAJI ya maaalubino hapa nchini Tanzania yalianza kusikika mwishoni mwa mwaka 2007 hali ambayo ilionekana kutikisa nchi kwa kuwauwa binadamu kama mnyama ambae ni kitoweo.


Kufuatia hali hiyo ya mauwaji kwa walemavu wa ngozi (Alubino) mbunge wa kuteuliwa Al-Shymaa Kwegyir ambae pia ni mlemavu wa ngozi alichuchukua jukumu la kutembelea maeneo yanayosadikiwa kuwa na idadi kubwa ya walemavu wa ngozi ili kupata maoni ambayo yanaweza kuwa kizuizi cha walemavu hao kuuwawa.


Muheshimiwa Kwegyir alipowatembelea walemavu wa ngozi waliopo wilaya ya Musoma vijijini alibaini kuwa ili kuthibiti mauwaji hayo kitu cha kwaniza ni ktafuta mbinu za walemavu hao kupata nyumba bopra za kuishi.


“Kwa kutafakari mimi mwenyewe binafaisi nahisi walemavu hawa wanauwawa kwea kuwa wengi wao wana kipato cha chini na pia hawana makazi mazuri ya kuishi,kwani nyumba wanazoishi zikipigwa hata teke tu zinabomoka’’alisema mbunge huyo.


Hata hivyo mbunge huyo wa kuteuliwa hakuishia hapo alichukua jukumu la kutafuta wafadhili watakaowapatia msaada wa kujengewa nyumba walema wa ngozi ili angalau wajistri sehemu imara.

"Walemavu wengi wa ngozio wamekuwa wakiuwawa na kupatwa na majanga haya ya imani za kishirikina hususani mida ya usiku kwa kuwa huishi nyumba ambazo ni za wasiwasi zisizo na uimara wowote"alisema mbunge huyo wa kuteuliwa.


Kwa kuwa aliona kuwa mbunge wa jimbo hilo la msoma vijijini hatashindwa kuwajengea walemavu hao nyumba alimfuata moja kwa moja na kumuomba msaada wa kuwajengea walemavu wa ngozi waliopo katika jimbo lake nyumba bora za kuishi ili kupunguza mauwaji ya walemavu.


Kwa upande wake mbunge wa jimbo hilo Nimrodi mkono hakusita katika kukubali ombi hilo,bali aliridhia kuwajengea walemavu wa ngozi walio katika jimbo lake nyumba bora za kuishi ili kuwaimarishia usalama wa kuishi pamoja na kuwapa malazi bora.


Mbunge huyo alifikia hatua hiyo ya kutaka kuwajengea walemavu hao nyumba baada ya kufikishiwa ombi hilo na mbunge wa kuteuliwa Al-Shymaa Kwegyir kuwa anaomba wenye ulemavu wa ngozi kuhimarisha makazi wanayoishi kwa kile alichodai kuwa nyumba wanazoishi kinaweza kuwa chanzo cha wao kuuwawa kiurahisi zaidi.


Mkono alitoa kauli ya kuwajengea walemavu wa ngozi nyumba bora za kuishi mnamo machi 8 mwaka huu wakati alipokuwa akihutubia kwenye mkutano wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani ambayo kwa mkoa wa Mara yalifanyika kimkoa katika kijiji cha Nyamisisi wilaya ya Musaoma vijijini.


Alisema utekelezaji huo wa kuwajengea utanza mara tu baada ya sensa na kupata idadi kamili ya walemavu hao na kwamba ujenzi wa nyumba hizo utasimamiwa na halmashauri baada ya kutoa fedha za kutekeleza kazi hiyo.


Kwa upande wake mgeni rasmi wa maadhimisho hayo waziri wa maendeleo ya jamii jinsia na watoto Margreth Sitta aliwataka madiwani wa halimashauri zote kupiga vita imani ya mila zilizopitwa na wakati kwa kile alichosema mila hizo ni chanzo cha kurudisha nyuma maendeleo ya wanawake na watoto pia ni chanzo cha mauwaji ya walemavu wa ngozi.


Naye waziri mkuu Mizengo Kayanza Peter Pinda alipokuwa akitembelea mikoa ili kubaini chanzo cha mauaji ya alibino alisema kuwa mauwaji haya ni tishio kwa Taifa jambo ambalo alisema kuwa linadhalilisha taifa.


Waziri alisema kuwa watuhumiwa wote wanaokamatwa kuhusiana na mauwaji ya alubino wauwe kwani wanafanya ukatili wa kinyama.


Hadi kufikia mwaka 2009 walemavu wa ngozi zaidi ya 44wameuwawa na watu 3 waliusishwa na mauwaji ya walemavu wa ngozi wamekwisha hukumiwa katika mkoa wa shinyanga.Hukumu waliyopewa watuhumiwa hao ni adhabu ya kunyongwa hadi kufa.

Thursday, October 29, 2009

The fourth day of the training

For these four days of Internet training i learn so many things about the use of Internet

Everyday i learn New things about internate which i did not know befour

Today i learn how to LINK adress to the blog and how to use email in communication skills

The training is going well but theres a problem in ather computers which makes us not enjoy the training and some how we dont understand perfectly.

The problem which course others to be un understand is coused by the computer which can not be wthi a net work conection and others it can be difficult to open because it need pass waed in order to open.

Wednesday, October 28, 2009

Nimefaidi mafunzo

Today is the third day of the training back to me I see the training is going well as usually. Lecturer teach trainer how to find data and so many things which would like from the Google.

So far that topic I get something in my head and also it can help me to be ease to find data from internet.

For example we learn about how to thinking what you are looking before, and then go to look website.

Tuesday, October 27, 2009

the second day

Today is a second day for our training about how internet can change the society which is in Mwanza city.

First of all I like to thanks our lecture of the training Mr Peik Johansson because teach us very good about the internet technology.

The topic which we learn today is about haw to create the blogger website, to read map and how to do research to the internet.

Finishing lecture

Florence Focus

My name is Florence Focus,I am a journalist to Nipashe news papers from Mara, also aim a family with Mara Regional Press Club.

Now aim in Mwanza city for internet training which is for journalist from lake Zone. For my opinion I think that all journalists who are here we are comfortable about that training because we need much to know how internet can change the idea with journalism.

This workshop it can be take five day which I think is a few days for us to be understand much than internet workshop training.

After today I learn how internet can operate and how can simplify a job, before I use interne to chart with my friends, to read magazines and to send some stores to my editors.